Maisha

Monday, August 16, 2010

Pole sana Mungai

Pole sana Muheshimuwa pamoja wa wenzako mliopelekwa mahakaman kwa tuhuma za kutoa rushwa ili muweze kupita katika kura za maoni za CCM.Lakini napenda kusema y kwamba kama nikweli basi vizuri mkaomba radhi wa watanzania na kama ni kweli basi acheni sheria ichukue mkondo wake mpate ka adhabu na nyie.

No comments:

Post a Comment