Kuma ni kuuza basi kaka bizo umeuza vya kutosha sasa nii wakati wa kusoma mzee.Mshaulini mwenzenu afu uyu jamaa mbona kila picha zate yeye na masela mademu atuwaoni au ndo mdomo umetiwa gundi.
Pole sana Muheshimuwa pamoja wa wenzako mliopelekwa mahakaman kwa tuhuma za kutoa rushwa ili muweze kupita katika kura za maoni za CCM.Lakini napenda kusema y kwamba kama nikweli basi vizuri mkaomba radhi wa watanzania na kama ni kweli basi acheni sheria ichukue mkondo wake mpate ka adhabu na nyie.